Entertainment

WEMA SEPETU AMLILIA MUNGU WAKE KUHUSU AIBU ALOFANYIWA NA DIAMOND......ANADAI SIKU AKIFA TUTAMKUMBUKA

 

 

Wema  Sepetu  anaonekana  kuumizwa  sana  na  kitendo  cha  Diamond  kumrekodi  wakati  anajitongozesha  kwake  usiku  alipokuwa  na  mpenzi  wake  Penny....
Walipomrekodi, waliisambaza  clip  hiyo  mitandaoni  na  katika  vituo  kadhaa  vya  redio.....
Hii  ni  fedheha  ambayo  nadhani  Wema Sepetu  hataisahau  maishani  mwake ....
 
 

HII NDO LAANA INAYOTENDEKA MOMBASA......NASIKIA HUKO HADI WANAUME HUJIUZA 

 

 The 21st century generation seems to have thrown all caution and the respectable ways that the forefathers fought so hard to see their children grow up with are no longer there.

Jamani hali inasikitisha duniani hivi ndivyo inavyoendelea nchi za wenzetu.

 


No comments:

Post a Comment