Friday, December 7, 2012

Baraza la habari tawi la Zanzibar lakutano kujadili kuhusu ukiukwaji wa vyombo vya habari

Mkurugenzi wa idara ya habari maelezo Yussuf Omar (Chunda)

 
 
 
 
 
 
1 Vote
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Yussuf Omar Chunda akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mjadala wa Waandishi wa Habari kuhusu Ukiukwaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment