Sunday, December 16, 2012

KILIO CHA WAZANZIBAR KWA USAFIRI WA HABARINI CHAMALIZIKA


Tatizo kubwa lililokuwa likiwakabili Wazanzibar hususani wakaazi wa kisiwa cha Pemba kwa kutokuwepo kwa usafiri wa hakika wa baharini linatarajiwa kumalizika hivi karibuni baada ya kampuni ya Azam Marine kuzinduwa rasmi meli yake mpya ya Sealink 1 ambayo hivi asubuhi yaleo wameanza kuijaribu gati yao waliojenga kwa ajili ya meli hio hapo malindi mjini unguja.
Meli hio inatarajiwa kuanza safari yake hivi karibuni baada ya kumalizika hatuwa zote zinazohitajika ili kuwezesha meli hio kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa ili kuwaondoshea wazanzibar.
MELI MPYA YA ZAMA MARINE SEALINK 1
MELI MPYA YA ZAMA MARINE SEALINK 1

No comments:

Post a Comment