18 Februari, 2013 - Saa 06:30 GMT
Mkuu wa bunge la taifa la Libya ametoa wito kufanywe juhudi zaidi kupambana na mtafaruku na rushwa katika jamii ya Libya.

Alisema dini zote zinahitaji kutendewa haki na alionya kuwa ukosefu wa utulivu unazuwia uwekezaji.
Walibya wengi wamekuwa wakisherehekea siku hiyo mwisho wa juma zima.
No comments:
Post a Comment