
Umoja wa Mataifa unasema shambulio hilo ndio kubwa kabisa tangu mwaka wa 2011 ambapo wa-Murle mia kadha waliuliwa na vijana wa Lou Nuer.
Wadadisi wanasema tangu Sudan Kusini kupata uhuru mwaka huo, nchi hiyo imekuwa na shida ya kudhibiti maeneo hayo ya mbali ambayo yana silaha nyingi baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya miongo miwili.
No comments:
Post a Comment