Friday, March 29, 2013

JENGO LA GHOROFA 16 JIJINI DAR LAANGUKA, WATU TAKRIBANI 60,WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

Taarifa zilizotufikia ni kwamba jengo lenye ghorofa 16 lililokuwa bado linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indira Gandhi na Morogoro jirani na Burhani limeanguka. Inasemekana katika jengo hilo kulikuwa na watu takribani 60 ambao wanahofia kupoteza maisha. Taarifa kamili zitawajia hivi punde.

 
 Waokoaji bado wanaendelea na shughuli za uokoaji
 Moja kati ya magari yaliyokuwa eneo hilo likiwa limeangukiwa na mabaki ya jengo hilo.
 Trekta likiondoa kifusi eneo la ajali.
 Miongoni mwa watu waliohudhuria katika ajali hiyo kwa ajili kutoa msaada


No comments:

Post a Comment