MWANANCHI AKITOA MAONI YAKE JUU YA KATIBA MPYA
Waliotaka Zanzibar yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kufuatiwa na Muungano wa Mkataba kati yake na Tanga
nyika ni 14,998 sawa na 65.98%.
Waliotaka muundo wa sasa wa Muungano (Serikali Mbili) uendelee ni 7,034 sawa na asilimia 30.94%.
Waliotaka Serikali Tatu ni 105 sawa na 0.46%.
Waliotaka Serikali Moja ni 22 sawa na 0.9%.
Waliotoa maoni mengine ni 573 sawa na 2.52%.
MTAZAMO BINAFSI: Inafurahisha kuona wapenda mabadiliko (progressives) katika Zanzibar kwa ujumla asilimia yao imebakia takriban ile ile 66% ambayo ndiyo iliunga mkono kuanzishwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa mwaka 2010. Kwa upande mwengine, wahafidhina wanaokataa mabadiliko katika jamii ya Zanzibar wanazidi kupungua kutoka asilimia 33% hadi asilimia 31%
No comments:
Post a Comment