Tuesday, December 11, 2012

NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA RAISI



Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu (wa pili kutoka kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya taratibu za nidhamu katika Utumishi wa Umma yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma mjini Dodoma hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment