Wednesday, January 9, 2013

MADEREVA WA BODABODA WALUMBANA KUHUSU ABIRIA

Madereva wa Bodaboda waifunga Bodaboda mnyororo kwa kugombania Abiria
wanamtaka dereva wa Bodaboda hiyo apange foleni kama walivyo panga wengine kwa kusubiria abiria
wanadai asipakie abiria mpaka nyingine zipakie.


wengine wagombana kuhusu tukio hilo lililotokea mchana huu kuhusu malumbano ya Dereva huyo wa Bodaboda


By Hamad Saleh
hamadswaleh@gmail.com.

No comments:

Post a Comment