4 Februari, 2013 - Saa 12:41 GMT

Ndege
za jeshi la Ufaransa zimekuwa zikishambulia ngome za wapiganaji kwa
lengo la kuziba maeneo wanayotumia kusafirishia silaha zao
UfaNdege za kijeshi za Ufaransa,
zimeshambulia kwa mabomu ngome za wapiganaji na maghala yao ya silaha
katika maeneo ya vijijini ili kujaribu kukata njia wanazopitishia silaha
zao.
Kwa mujibu wa waziri wa mambo ya kigeni wa
Ufaransa, Laurent Fabius, waasi hao hawatweza kuendelea kupigana bila
kupata chakula na silaha wanazohitaji.Mashirika ya kutoa misaada yanasema kuwa bei ya chakula na mafuta imepanda sana huku baadhi ya wafanya iashara wakitoroka kwa hofu ya kushambuliwa.
No comments:
Post a Comment