Monday, February 4, 2013

MAALIM SEIF AWASILI Z,BAR AKITOKEA MATIBABUNI NCHINI INDIA

2013


 
 
 
 
 
 
Rate This

Imewekwa na Hamed Mazrouy

Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif akisalimiana na viongozi mbali mbali waliofika kumpokea
Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif akisalimiana na viongozi mbali mbali waliofika kumpokea

Makamo wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad akisalimia na Mwakilishi wa Jimbo la Mjimkongwe Mh, Ismail Jussa Ladhu pamja na Katibu Mkuu wake Dr:Omar Dadi Shajak   na Vionozi wengine mbali mbali mara baada ya kuwasili katikaUwanja wa ndege wa kimataifa Zanzibar Abeid Amani Karume  akitokea matibabuni nchini India

No comments:

Post a Comment