Na Waandishi Wetu, Mwananchi
(
email the author)
Posted
Jumapili,Marchi24
2013
saa
23:35 PM
Kwa ufupi
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Dar es Salaam,
ilisababisha mafuriko makubwa katika baadhi ya maeneo, hivyo nyumba
kadhaa kujaa maji na baadhi ya watu kulazimika kuyahama makazi yao.
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Dar
es Salaam, ilisababisha mafuriko makubwa katika baadhi ya maeneo, hivyo
nyumba kadhaa kujaa maji na baadhi ya watu kulazimika kuyahama makazi
yao.
Mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua iliyoanza
kunyesha muda wa asubuhi, pia yalisababisha hasara kubwa kutokana na
vitu na mali mbalimbali kusombwa na maj
No comments:
Post a Comment