4 Machi, 2013 - Saa 11:52 GMT

Maafisa wa polisi
Jeshi nchini Nigeria
linasema kuwa limewauwa wapiganaji 20 wa kundi la Kiislam la Boko Haram
katika jimbo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo la Borno.
Msemaji wa jeshi amesema kuwa wapiganaji hao waliuawa walipokuwa wakijaribu kushambulia kituo cha kijeshi.Kundi la Boko Haram limelaumiwa kwa kufanya mashambulizi kadhaa makali huko kaskazini mwa Nigeria kwa miaka kadhaa sasa.
No comments:
Post a Comment