Mtoto mchanga aokotwa Tumbe Pemba
Mmoja kati ya wafanyakazi wa Wizara ya Ustawi wa Jamii Maendelo ya
Vijana Wanawake na Watoto Pemba, Mwanaisha Ali Massoud, akimwangalia
mtoto mchanga, aliyetupwa na mama yake mzazi baada ya kuzaliwa huko
Tumbe Kaliwa, wilaya ya micheweni, na kuokotwa na wasamaria wema
Picha na Abdull Suleiman
No comments:
Post a Comment