Picha hii sio halisi
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa kiongozi huyo kwenda nchini India kwa ajili ya ukaguzi wa afya kila baada ya miezi sita, tangu alipofanyiwa operesheni ndogo ya magoti mwaka 2011.
Maalim Seif anatajiwa kurejea nchini mwanzoni mwa mwezi ujao.
Hassan Hamad (OMKR)
No comments:
Post a Comment